URAFIKI WAENDA KOMBO KATI YA WEMA NA KAJALA

Ni gumzo ambalo lipo kati wa wawili hao,kwani kumeibuka fukuto la madai ya pesa tasilimu tsh.mil.13 ambazo ndo ilikua dhamana ya kajala kutoka jera ambazo zilitolewa na mrembo wema sepetu,Wema alifunguka kua anajutia kumlipia dhamana hiyo kwani imepelekea kupata matatizo tu,kwa upande wa kajala nae alifunguka hivi;yaani katika vitu wema anavyopaswa kusahau ni pamoja na iyo mil.13 aliyolipa mahakamani,simlipi ng'o,alimaliza kwa msisitizo huo.

Comments

Popular posts from this blog

USIYOJUA KUHUSU WIMBO WA TUNDA MAN

CCM WAJIPANGA UPYAAAAAAAAA