RAYUU ASAKA MUME......
Msanii wa bongo movie ajulikanae kwa majina Alice Bagenzi alimaarufu kama Rayuu amefunguka na kudai ameshachok kuishi maisha ya ukapera,ametangaza nia yake ya kuolewa.Akifunguka na kusema;Natafuta mwaume wa kuniweka ndani awe mkweli na kunipenda kwani nimechoka maisha ya kisela,....
Comments
Post a Comment