RAYUU ASAKA MUME......

Msanii wa bongo movie ajulikanae kwa majina Alice Bagenzi alimaarufu kama Rayuu amefunguka na kudai ameshachok kuishi maisha ya ukapera,ametangaza nia yake ya kuolewa.Akifunguka na kusema;Natafuta mwaume wa kuniweka ndani awe mkweli na kunipenda kwani nimechoka maisha ya kisela,....

Comments

Popular posts from this blog

USIYOJUA KUHUSU WIMBO WA TUNDA MAN

CCM WAJIPANGA UPYAAAAAAAAA