DIAMOND ATWAA TUZO SABA ZA KILI MUSIC AWARD.


Msanii wa kizazi kipya Nasib Abdul maarufu kama sukari ya mabinti diamond platinum,amejinyakulia tuzo saba mkononi,hakika diamond anastahili pongezi,pia hakuwa mbali na mlimbwende wake Wema Sepetu katika usiku wa tuzo hizo,kwani kikubwa kati ya wawili hao ni pale Wema alipomkabidhi mojawapo ya tuzo zake.......
Comments
Post a Comment